Wasiliana

Tuko Hapa
Kukusaidia

Piga simu, tuma WhatsApp, au jaza fomu — tutajibu haraka

Njia za
Kuwasiliana

Timu yetu ipo tayari kukusaidia. Tunajibu maswali yote ndani ya saa 2 wakati wa kazi.

Simu / WhatsApp
+255 767 830 319
Jumatatu–Ijumaa, 8:00 AM – 6:00 PM
Barua Pepe
Tunajibu ndani ya saa 2
Ofisi
Dar es Salaam, Tanzania
Tunaweza kuja kwako pia 🇹🇿
Piga WhatsApp Sasa
Tuma Ujumbe
Jaza fomu hapa chini — tutakujibu haraka

Tunajibu ndani ya saa 2 wakati wa kazi

Ujumbe Umetumwa!

Asante kwa kuwasiliana nasi. Tutakujibu ndani ya saa 2 kwa simu au barua pepe yako.

Maswali
Unayouliza

Ni muda gani inachukua kuanza kutumia SmartKembo?
Baada ya kuomba akaunti, tutakupigia simu ndani ya saa 24. Ukiwa na router ya Mikrotik tayari, unaweza kuanza kuuza WiFi ndani ya siku 1–2. Tunakusaidia hatua kwa hatua bila malipo ya ziada.
Ninahitaji router gani?
SmartKembo inafanya kazi vizuri na Mikrotik (inapendekezwa), OpenWRT, na Ubiquiti. Mikrotik RB941 au RB951 zinapatikana Tanzania kwa bei ya Tsh 80,000–150,000 na zinafaa vizuri kwa hoteli na ofisi ndogo.
Ninaweza kubadilisha bei za pakiti zangu wakati wowote?
Ndiyo! Unaweza kubadilisha bei, kuongeza au kuondoa pakiti wakati wowote kupitia dashibodi yako. Mabadiliko yanaanza mara moja — wateja wanaona bei mpya papo hapo.
Malipo yanaingia vipi mkononi mwangu?
Wateja wanalipa kupitia M-Pesa, Tigo Pesa, au Airtel Money. Pesa inaingia moja kwa moja kwenye akaunti yako ya simu — hakuna kuchelewa, hakuna commission ya ziada. SmartKembo inakusanya ada yake ya mwezi tu.
Kuna msaada wa kiufundi?
Ndiyo! Wamiliki wa Pro na Enterprise wana msaada wa simu na WhatsApp. Basic wana msaada wa barua pepe. Pia tuna mafunzo (tutorials) kwenye tovuti yetu ya jinsi ya kutumia kila kipengele.